Sunday, August 25, 2013

TAHADHARI! JE UNATUMIA VIPODOZI HIVI?

Urembo ni jambo zuri, lakini usipokuwa makini kuchagua vipodozi vizuri, unaweza kupata madhara ambayo mwisho wake ni majuto! Matumizi ya vipodozi vyenye aina ya ''steroid'' ili kufanya ngozi ya uso ionekane nyeupe, nyororo, angavu na laini yanaongezeka kila siku. Ni rahisi kumtambua mtu anaetumia vipodozi vyenye steroid kwa kuwa mara nyingi rangi ya ngozi yake ya usoni hutofautiana na ya sehemu nyingine ya mwili kwa kuwa nyeupe zaidi.
Kemikali aina ya ''steroid'' ambazo zimekuwa zikitumiwa kwa wingi au kuchanganywa kwenye vipodozi ni pamoja na Betamethasone na Dexamethasone.
Aina hizi za steroid zilikusudiwa kutumiwa kutibu aina fulani za mzio (allergy) ya ngozi na hutumika kwa muda mfupi. Moja kati ya madhara yake ya pembeni (side effects) ni kuifanya ngozi iwe laini na nyeupe kwa kuondoa melanini. Melanini ni rangi ya ngozi ambayo hutukinga na mionzi ya jua ili tusipate kansa ya ngozi. Watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mara nyingi hupata kansa ya ngozi kwa kuwa miili yao haina uwezo wa kutengeneza melanini. Kadri jua linavyokua  kali melanini huongezeka na weusi wa ngozi huongezeka pia hivyo kuongeza kinga dhidi ya mionzi ya jua na kansa ya ngozi. Rangi nyeusi ya ngozi ni kitu cha thamani sana na cha kujivunia ambacho Mwenyezi Mungu ametupa,  hivyo si sahihi hata kidogo kuiondoa.
Kimantiki, kutumia steroid ili uwe mweupe zaidi, ni kutumia madhara ya dawa (side effect) kujipendezesha!
Kemikali nyingine ambazo hutumika kujipodoa ni pamoja na Hyrodquinone na Mercury,
Kama unatumia vipodozi au kama kipodozi chako kina kemikali zilizotajwa hapa chini mwone daktari au mtaalamu wa ngozi (dermatologist) akueleze nini cha kufanya.
 
VIPODOZI VIFUATAVYO VIMEPIGWA MARUFUKU!!
SkinLightening creams containing Hydroquinone
1.
Mekako Cream
2.
Rico Complexion Cream
3.
Princess Cream
4.
Butone Cream
5.
Extra Clear Cream
6.
Mic Cream
7.
Viva Super Lemon Cream
8.
Ultra Skin Tone Cream
9.
Fade - Out Cream
10.
Palmer`s Skin Success (pack)
11.
Fair & white Active Lightening Cream
12.
Fair & White Whitening Cream
13.
Fair & White Strong Bleaching Treatment Cream
14.
Fair & white Body Clearing milk
15.
Maxi – Tone fade Cream
16.
Nadinola Fade Cream
17.
Clear Essence Medicated fade Cream
18.
Peau Claire Body Lotion
19.
Reine Clair Rico Super Body Lotion
20.
Immediat Claire Maxi – Beuty lotion
21.
Tura Lotion
22.
Ikb Medicated Cream
23.
Crusader Skin Toning Cream
24.
Tura Bright & Even Cream
25.
Claire Cream
26.
Miki Beauty Cream
27.
Peau Claire Crème Eclaircissante
28.
Sivoclair lightening Body Lotion
29.
Extra Clair lightening Body Lotion
30.
Precieux Treatment Beauty Lotion
31.
Clear Essence Skin Beautifying Milk
32.
Tura Skin Toning Cream
33.
Madonna Medicated Beauty Cream
34.
Mrembo Medicated Beauty Cream
35.
Shirley Cream
36.
Kiss – Medicated Beauty Cream
37.
UNO21 Cream
38.
Princess Patra Luxury Complexion Cream
39.
Envi Skin Toner
40.
Zarina Medicated Skin Lightener
41.
Ambi Special Complexion
42.
Lolane Cream
43.
Glotone Complexion Cream
44.
Nindola Cream
45.
Tonight Night Beauty Cream
46.
Fulani Cream Eclaircissante
47.
Clere Lemon Cream
48.
Clere Extra Cream
49.
Binti Jambo Cream
50.
Malaika Medicated Beauty Cream
51.
Dear Heart with Hydroquinone Cream
52.
Nish Medicated Cream
53.
Island Beauty Skin Fade Cream
54.
Malibu Medicated Cream
55.
Care plus Fairness Cream
56.
Topiclear Cream
57.
Carekako Medicated Cream
58.
Body Clear Cream
59.
A3 Skin Lightening Cream
60.
Ambi American Formula
61.
Dream Successful
62.
Symba crème Skin Lite ‘N’ Smooth
63.
Cleartone Skin Toning Cream
64.
Ambi Extra Complexion Cream for men
65.
Cleartone Extra Skin Toning Cream
66.
O`Nyi Skin Crème
67.
A3 Tripple action Cream Pearl Light
68.
Elegance Skin Lightening Cream
69.
Mr. Clere Cream
70.
Clear Touch Cream
71.
Crusader Ultra Brand Cream
72.
Ultime Skin Lightening Cream
73.
Rico Skin Tone Cream
74.
Baraka Skin Lightening Cream
75.
Fairlady Skin Lightening Cream
76.
Immediat Claire Lightening Body Cream
77.
Skin Lightening Lotions Containing Hydroquinone
78.
Jaribu Skin Lightening Lotion
79.
Amira Skin Lightening lotion
80.
A3 Cleartouch Complexion Lotion
81.
A3 Lemon Skin Lightening Lotion
82.
Kiss Lotion
83.
Princess Lotion
84.
Clear Touch Lotion
85.
Super Max – Tone Lotion
86
No Mark Cream
 
Skin Lightening Gels Containing Hydroquinone
1.
Body Clear
2.
Topi Clear
3.
Ultra Clear
 
Skin Lightening Body Oils Containing Hydroquinone
1.Peau Claire Lightening Body Oil
Soaps Containing Hydroquinone
1.
Body Clear Medicated Antiseptic Soap
2.
Blackstar
3.
Cherie Claire Body Beauty Lightening & Treating Soap
4.
Immediate Clair Lightening Beauty Soap
5.
Lady Claire
6.
M.G.C Extra Clear
7.
Topi Clear Beauty Complexion Soap
8.
Ultra Clear
 
Soaps containing Mercury and its compounds
1.
Movate Soap
2.
Miki Soap
3.
Jaribu Soap
4.
Binti Jambo Soap
5.
Amira Soap
6.
Mekako Soap
7.
Rico Soap
8.
Tura Soap
9.
Acura Soap
10.
Fair Lady
11.
Elegance


Skin Lightening Creams containing Mercury and its Compounds
1.
Pimplex Medicated Cream
2.
New Shirley Medicated Cream

 
Cream preparations containing steroids
1.
Amira Cream
2.
Jaribu Cream
3.
Fair & Lovely Super Cream
4.
Neu Clear Cream Plus (spot Remover)
5.
Age renewal Cream
6.
Visible Difference Cream (Neu Clear – Spots Remover)
7.
Body Clear Cream
8.
Sivo Clair Fade Cream
9.
Skin Balance Lemon Cream
10.
Peau Claire Cream
11.
Skin Success Cream
12.
M & C DynamiClair Cream
13.
Skin Success Fade Cream
14.
Fairly White Cream
15.
Clear Essence Cream
16.
Miss Caroline Cream
17.
Lemonvate Cream
18.
Movate Cream
19.
Soft & Beautiful Cream
20.
Mediven Cream
21.
Body treat Cream (spot remover)
22.
Dark & Lovely Cream
23.
SivoClair Cream
24.
Musk – Clear Cream
25.
Fair & Beautiful Cream
26.
Beautiful Beginning Cream
27.
Diproson Cream
28.
Dermovate Cream
29.
Top Lemon Plus
30.
Lemon Cream
31.
Beta Lemon Cream
32.
Tenovate
33.
Unic Clear Super Cream
34.
Topiflam Cream
35.
First Class Lady Cream

 
Gel preparations containing steroids
1. Fashion Fair Gel Plus
2. Hot Movate Gel
3. Hyprogel
4. Mova Gel Plus
5. Secret Gel Cream
6. Peau Claire Gel Plus
7. Hot Proson Gel
8. Skin Success gel Plus
9. Skin Clear Gel Plus
10. Soft & Beautiful Gel
11. Skin Fade Gel Plus
12. Ultra – Gel Plus
13. Zarina Plus Top Gel
14. Action Dermovate Gel Plus
15. Prosone Gel
16. Skin Balance Gel Wrinkle Remover
17. TCB Gel plus
18. Demo – Gel Plus
19. Regge Lemon Gel
20. Ultimate Lady Gel
21. Topifram Gel Plus
22. Clair & Lovely Gel
 
Viambata vifuatavyo havitakiwi kuwepo kwenye bidhaa za vipodozi,
1. Bithionol
2.Hexachlorophene
3. Mercury compounds
4. Vinyl chloride
5. Zirconium – containing complexes in aerosol products
6. Halogenated salicylanilides (di-, tri- metabromsalan and tetrachlorosalicynilide)
7. Chloroquinone and its derivatives
8. Steroids in any proportions
9. Chloroform
10. Chlofluorocarbon propellants (fully halogenated chlorofluoroalkanes) in cosmetic aerosol products
11. Methyelene chloride

 
 
 

40 comments:

  1. Nice one Elia!! Keep such coming... And i have heard of Xylum Chlorohydrate too, is it bad? It's mostly used in Deodorants...

    i was frustrated last time when i was shopping for deodorant as they all seem to have it!!

    What to do??!!

    ReplyDelete
  2. I am not aware of ‘Xylum Chlorohydrate’.. I will find about it..,
    I am aware of Aluminium Chlorohydrate which is used in most of antiperspirant/ deodorant and it is claimed to cause cancer!
    Most of the antiperspirant or deodorant works by physically block the sweat glands, thus preventing sweating to come out. The bad odor after sweating is the result of bacteria action on the sweat and on the wet skin when one is sweating.
    I prefer to use perfumes, because unlike antiperspirant or deodorants which are applied direct on the skin, perfumes are applied on clothes.
    Some people get skin allergies when applying deodorants especially when applied under the armpit, soon after shaving. Prolonged use of some deodorants darkens the armpit skin! Use of antibacterial soaps, perfumed shower gel also reduces the bad odor.
    It is unfortunate that most of us when buying cosmetics we don’t bother to read the ingredients, or ask for advice before using. We are attracted with the brand names and the country of manufacture.
    What to do…
    - To change attitude and develop habit to check the ingredients or and ask cosmetologist or skin specialist before using new cosmetics
    - TFDA/ health professionals/ cosmetologist to sensitize the public to stop use of banned cosmetics.

    ReplyDelete
  3. hiyo comment yako ume copy na ku paste aibu kubwa mr pharmacist! mwenyewe unajiona una bonge la kazi ungekuwa dakitari jee?

    ReplyDelete
    Replies
    1. ni kweli nimecopy na kupaste, kutoka hapa:
      Source: http://www.tfda.or.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=25:vipodozi-vyeme-viambata-vyenye-sumu&catid=2&Itemid=230&showall=1&limitstart= na sioni ubaya kama mtaalamu ya dawa kujulisha jamii kwa kuwa si wote wanaufahamu kuhusu vipodozi vilivyopigwa marufuku na madhara yake! Daktari na mfamasia kwa pamoja hushirikiana kikamilifu kumsaidia mgonjwa kupata tiba sahihi, na kutoea elimu kuhusu matumizi sahihi ya dawa, kutoa tahadhari na kuelimisha jamii kuhusu madhara mbalimbali ya dawa. Hivyo sina cha kujisifu au kujiona bora kuliko mwingine kwa kuwa ni taaluma yangu na wote kwa pamoja tunafanya kazi ya kumsaidia mgonjwa na jamii kwa ujumla!

      Delete
    2. Go go go Elia , and don let people discourage you, this is how every successful doctor started! get going........

      Delete
    3. Naomba kuuliza skderm cream ni nzuri kwa afya ya ngozi

      Delete
  4. Naomba kuuliza mediven cream inayotolews pharmas kama ina madhara kutumia kama cream ya uso kwa matumizi ya kila siku

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mediven imetajwa na TFDA kama moja ya kipodozi kilichopigwa marufuku (angalia item #20 Cream preparations containing steroids) hivyo si vyema kuitumia au kujipaka USONI. Mediven ni cream zenye STEROID na inaweza kukuletea madhara kama nilivyoainisha hapo juu. Kwa ujumla si vyema kujipaka dawa yoyote usoni bila kushauriwa na daktari au mtaalamu wa ngozi.

      Delete
    2. Tafadhariiii naomba ushauri na viipi kuhusu ss tunaotumia ct+ clear therapy

      Delete
  5. keep it up brother, i like this... you are a pharmacist nt a dr,. people should know this! goood

    ReplyDelete
  6. http://www.mwananchi.co.tz/Dawa-za-nywele-zinazosababisha-uvimbe-/-/1596774/2347454/-/svsi53z/-/index.html

    ReplyDelete
  7. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  8. Thanks for the advise,pliiz help someone here,she was advised to use miss Caroline cream to clear her blackspots and pimples but instead her face became whiter. Advise pliiz.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hi Casty,
      That someone has to go back to the prescriber to provide the feedback.
      If the prescriber is not a medical personnel, the someone has to seek medical advise from a skin specialist (dermatologist)

      Delete
  9. Vp kuhusu clairmen?? Je ina madhara gani?

    ReplyDelete
  10. Clarimen ni skin Lightening cream/ lotion.
    Lightening creams/ lotion au cream yoyote yenye steroids inafanya kazi ya kuondoa au kupunguza rangi ya weusi wa ngozi (melanin pigment)
    Melanin pigment ina kazi ya kuzuia ngozi zetu zisipate kansa ya ngozi kutokana na miale ya jua (Miale ya jua, huweza kusababisha kansa ya ngozi)
    Hivyo ukitumia lightening cream yoyote, unajiweka kwenye hatari ya kupata kansa ya ngozi kama sio leo basi miaka kadhaa ijayo.
    Pia ukitumia Lightening cream, ukipita juani utasikia ngozi kama inachoma choma au ina taka kufa ganzi hivi,
    Nadhani Mungu anatupenda kwa kutupa uwezo wa kutengeneza melanin nyingi tunapokuwa juani, hivyo si sawa kuiondoa hiyo rangi au kuipunguza.

    ReplyDelete
  11. i read a lot of stuff and i found that the way of writing to clearifing that exactly want to say was very good so i am impressed and ilike to come again in future..
    Elia & Ponto

    ReplyDelete
  12. I once used miss Caroline to remove pimples but my skin ended up being light with a lot of pimples and blackspot

    ReplyDelete
  13. Miss Caroline no poa kutumia ama at a iyo no mbayaa

    ReplyDelete
  14. Thank you for the good knowledge

    ReplyDelete
  15. Thank Mr. Elia for reminding the community on the effects of cosmetics containing steroid , hydroquinone, mercury and other chemicals which are harmfully to our health.
    Regard

    ReplyDelete
  16. How about Arabian queen lotion?

    ReplyDelete
  17. vip kuhusu Top lemon ina madhara?

    ReplyDelete
  18. VIP kuhusu Arabian queen body lo

    ReplyDelete
  19. Vip kuhusu epiderm mkuu ina madhara

    ReplyDelete
  20. Vip kuhusu cocopulp ni Nzur kupaka?

    ReplyDelete
  21. je ct inamadhara naomba niambie ndo nataka niaze kujipaka

    ReplyDelete
  22. White secret na Even sheen coco butter inamadhara gani kwenye ngozi

    ReplyDelete
  23. Vipi kuhusu lemonvate ni nzr

    ReplyDelete
  24. Dawa nyingi Zina kemikali zenye madhara, unaweza ukawa mweupe af badae ukapata matangotango au ngozi yenye rangi zaidi ya moja. Dawa ya uhakika wacheki Hawa Cream ya kuwa mweupe

    ReplyDelete
  25. Et losheni ya turmeric oil ninzuli

    ReplyDelete
  26. Kuna mafuta yanaitwa Bronz Tone vipi kuhusu hayo??

    ReplyDelete
  27. Miki clair hinafaa kwamatumizi

    ReplyDelete
  28. Great and I have a swell present: Who Does House Renovation average home renovation cost

    ReplyDelete
  29. Naomb kujua madhar extra clair lemon cream

    ReplyDelete
  30. vipi kuhusu forever young inamadhara??

    ReplyDelete
  31. forever young ina madhara??

    ReplyDelete
  32. Vp kuusu eclair inamadhala

    ReplyDelete

Pages